» »Unlabelled » Viongozi wa IS waondoka katika mji wa Mosul, Iraq

Viongozi wa IS waondoka katika mji wa Mosul, Iraq


Kuna vijiji 70 ndani ya mjini wa Masul
Image captionKuna vijiji 70 ndani ya mjini wa Masul
Jeshi la Marekani linasema kuna viashiria vinavyoonesha kuwa viongozi wa kundi la Islamic State wameondoka katika mji wa Mosul wakati vikosi vya jeshi la serikali ya Iraq na washirika wake wakikaribia mji huo.
Mkuu wa hilo jeshi Gray Volesky amesema kikosi chake kimeona ishra kwamba wapiganaji wa IS wameondoka katika mji huo.
Lakini amesema alitarajia kuwakuta baadhi ya wapiganaji wa kigeni wa kundi la IS kwa sababu ingekuwa vigumu kwao kukimbia ukilinganisha na wapiganaji wenyeji wa Iraq.
Ameongeza kuwa kunauwezekano wa kutokea mapigano Mosul lakini vikosi vya ulinzi vya Iraq vimeendelea kusonga mbele.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa au tupigie kwa (+255) 0769436440 Karibu Tena

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles