» »Unlabelled » Mapigano kusitishwa kwa siku tatu Yemen

Mapigano kusitishwa kwa siku tatu Yemen


Mapigano hayo ni baina ya vikosi vya serikali na waasi wa Houthi katika picha
Image captionMapigano hayo ni baina ya vikosi vya serikali na waasi wa Houthi katika picha
Mpango wa kusitisha mapigano kwa siku tatu unakaribia kuanza nchini Yemen.
Upande wa serikali ambao unaungwa mkono na Saudi Arabia na waasi wa Houth wamekubaliana na umoja wa mataifa kusitisha mapigano.
Kunaripoti zisemazo kuwa mapigano makali yanaendelea mpaka kufikia kusitisha mapigano, na kuna tetesi kwamba yatasitishwa.
Lakini umoja wa mataifa unatumaini kuwa kusitisha mapigano kunaweza kupelekea kuendelea kwa mazungumzo ya amani.
Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, takriban watu 7,000 wameuawa katika mapigano hayo
Image captionKwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, takriban watu 7,000 wameuawa katika mapigano hayo
Kwa zaidi ya miezi minane ya vita ya wenyewe kwa wenyewe kumeleta hali ngumu ya maisha kwa raia nchini Yemen.
Kwa sasa zaidi ya watoto milioni moja wanabiliwa na utapiamlo kwa kiwango cha juu.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa au tupigie kwa (+255) 0769436440 Karibu Tena

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles